Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein (kushoto) akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja
Mhe,Vuai Mwinyi Mohamed wakati alipowasili katika ufunguzi wa msikiti,
Masjid Muhammad (S.A.W) huko Fujoni Mzambarauni Wilaya ya Kaskazini B"
Mkoa wa kaskazini Unguja leo,uliojengwa kwa usimamizi wa Bw,Yakoub
Othman mwakilishi wa Kampuni ya Al-Buwardy Tanzania
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein (kulia) akisalimiana na Msimamizi wa Ujenzi wa msikiti, Masjid
Muhammad (S.A.W) Bw,Yakoub Othman wakati alipowasili katika ufunguzi wa
Msikiti huo uliojengwa na Kampuni ya Al-Buwardy huko Fujoni
Mzambarauni Wilaya ya Kaskazini B" Mkoa wa kaskazini Unguja leo
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein akifungua pazia kuashiria ufunguzi wa Msikiti Masjid Muhammad
(S.A.W) uliojengwa na Kampuni ya Al-Buwardy huko Fujoni Mzambarauni
Wilaya ya Kaskazini B" Mkoa wa kaskazini Unguja leo (kushoto) Makamo wa
Pili wa Rais wa Zanzibar pia Mwakilishi wa Jimbo la Mahonda Mhe,Balozi
Seif Ali Iddi
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein akikata Utepe fkama ni ishara ya ufunguzi wa Msikiti Masjid
Muhammad (S.A.W) uliojengwa na Kampuni ya Al-Buwardy huko Fujoni
Mzambarauni Wilaya ya Kaskazini B" Mkoa wa Kaskazini Unguja leo chini ya
usimamizi wa Bw,Yakoub Othman (hayupo pichani) pia wakiwepo (kulia} Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe,Vuai Mwinyi Mohamed na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais katiba,Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe Haroun Ali Suleiman (kushoto)
Sheikh Othman Maalim alipokuwa akitoa mawaidha baada ya ufunguzi wa Msikiti
Masjid Muhammad (S.A.W) uliojengwa na Kampuni ya Al-Buwardy huko
Fujoni Mzambarauni Wilaya ya Kaskazini B" Mkoa wa Kaskazini Unguja
leo,ambapo umefunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati waliokaa)
Waumini wa Dini ya Kiislamu wa Kijiji cha Fujoni Mzambarauni na Vijiji jirani wakiwa ndani ya Msikiti Masjid Muhammad (S.A.W) uliofunguliwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) ambao umejengwa kwa ufadhili wa Kampuni ya Al-Buwardy,chini ya Usimamizi wa Bw,Yakoub Othman mwakilishi wa kampuni hiyo
Sheikh
Abdulkadir Imamu wa Masjid Maamur kutoka Dar es Salaam (mbele)
akiwaongoza Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Swala ya Ijumaa baada ya
Msikiti Masjid Muhammad (S.A.W) huko Fujoni Mzambarauni uliofuguliwa
rasmi leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) ambao umejengwa kwa ufadhili Kampuni ya Al-Buwardy,chini ya Usimamizi wa Bw,Yakoub Othman mwakilishi wa kampuni hapa Nchini
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein,alipokuwa akitoa nasaha zake kwa Waumini wa Dini ya Kiislamu baada
ya swala ya Ijumaa leo alipoufungua Msikiti
Masjid Muhammad (S.A.W) uliojengwa na Kampuni ya Al-Buwardy huko
Fujoni Mzambarauni Wilaya ya Kaskazini B" Mkoa wa kaskazini
Unguja,uliojengwa chini ya usimamizi wa Bw,Yakoub Othman (hayupo pichani) kwa ufadhili Kampuni ya Al-Buwardy
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein (kulia) akisalimiana na Bw.Samir Ayoub miongoni mwa familia ya
Msimamizi wa Ujenzi wa msikiti, Masjid Muhammad (S.A.W) Bw,Yakoub Othman wakati
alipowasili katika ufunguzi wa Msikiti huo uliojengwa na Kampuni ya
Al-Buwardy huko Fujoni Mzambarauni Wilaya ya Kaskazini B" Mkoa wa
kaskazini Unguja leo. Picha na Ikulu.
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement

Related Posts
- Zanzibar to Organize a Half Marathon race to Promote Gender Mainstreaming, Attain Sustainable Development Goal06 Jan 20180
More than 300 Zanzibari women, men, girls and boys are expected to participate in t...Read more »
- Embassy of Kuwait in Tanzania Committed to Support Educational Projects in Zanzibar18 Dec 20170
Member of the House of Representative in Zanzibar, Hon Simai Mohammed Said in discussion ...Read more »
- Turkey to intensify relationship with SUZA16 Aug 20170
Delegation of Presidency for Turks Abroad and Related Communities (YTB) meets Prof. Rai (...Read more »
- RAIS DKT. MAGUFULI PAMOJA NA MKEWE MAMA JANETH WATEMBELEA KUWAJULIA HALI WAGONJWA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI JIJINI DAR ES SALAAM28 May 20170
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamo...Read more »
- Halmashauri kunufaika na Tsh 250 bilioni za mradi wa maji vijijini18 May 20170
Halmashauri za wilaya zimetakiwa kuongeza ufanisi katika kusimamia miradi ya maji kwa kucha...Read more »
- NAIBU MKURUGENZI WA IMF AKUNWA NA UKUAJI WA UCHUMI WA TANZANIA, AAHIDI KUFUNGUA DIRISHA LA MIKOPO KWA TANZANIA18 May 20170
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), (wa tatu kulia) akiel...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.