Home
»
habarizakitaifa
» MBUNGE MUSSA WA JIMBO TANGA AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA WAKULIMA JIMBONI KWAKE
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
Mussa Mbaruku kulia akiteta jambo na Mwenyekiti wa Kikundi cha Golani
Shutashuta,Saidi Bakari wakati alipokwenda akikagua mradi wa Kilimo cha
Umwagiliaji eneo la Golani Shutashuta Kata ya Pande Jijini Tanga jana
wakati alipofanya ziara ya kuwatembelea kuona namna wanavyotekeleza
majukumu yao na changamoto ambazo zinawakabili
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
Mussa Mbaruku akikangalia naamna mradi huo
unavyopandwa
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
Mussa Mbaruku akikagua mradi huo leo mara baada ya kuwasilia kwenye
eneo hilo
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
Mussa Mbaruku akikagua hoho wakati alipokuwa akitembelea mradi huo wa
kilimo cha Umwagiliaji wa Kikundi cha Golani Shutashuta eneo la Kata ya Pande Jijini
Tanga
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
Mussa Mbaruku akikagua hoho wakati alipokuwa akitembelea mradi huo wa
kilimo cha Umwagiliaji wa Kikundi cha Golani Shutashuta eneo la Kata ya Pande Jijini
Tanga
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
Mussa Mbaruku
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
Mussa Mbaruku akikagua tikitiki maji wakati alipotembelea mradi wa
umwagiliaji leo wa Kikundi cha Golani Shutashuta eneo la Kata ya Pande Jijini
Tanga
Mbunge wa Jimbo la Tanga,Alhaji
Mussa Mbaruku akipata tunda la tikiti maji mara baada ya kumaliza ziara
yake ya kutembelea kilimo cha Umwagiliaji wa
Kikundi cha Golani Shutashuta eneo la Kata ya Pande Jijini Tanga .
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement

Related Posts
- Zanzibar to Organize a Half Marathon race to Promote Gender Mainstreaming, Attain Sustainable Development Goal06 Jan 20180
More than 300 Zanzibari women, men, girls and boys are expected to participate in t...Read more »
- Embassy of Kuwait in Tanzania Committed to Support Educational Projects in Zanzibar18 Dec 20170
Member of the House of Representative in Zanzibar, Hon Simai Mohammed Said in discussion ...Read more »
- Turkey to intensify relationship with SUZA16 Aug 20170
Delegation of Presidency for Turks Abroad and Related Communities (YTB) meets Prof. Rai (...Read more »
- RAIS DKT. MAGUFULI PAMOJA NA MKEWE MAMA JANETH WATEMBELEA KUWAJULIA HALI WAGONJWA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI JIJINI DAR ES SALAAM28 May 20170
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamo...Read more »
- Halmashauri kunufaika na Tsh 250 bilioni za mradi wa maji vijijini18 May 20170
Halmashauri za wilaya zimetakiwa kuongeza ufanisi katika kusimamia miradi ya maji kwa kucha...Read more »
- NAIBU MKURUGENZI WA IMF AKUNWA NA UKUAJI WA UCHUMI WA TANZANIA, AAHIDI KUFUNGUA DIRISHA LA MIKOPO KWA TANZANIA18 May 20170
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), (wa tatu kulia) akiel...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.