Katibu
Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji ametembelea Tenki la Maji la
terminal lilipo karibu na chuo kikuu cha ardhi ambalo linapokea maji
kutoka mtambo wa Ruvu na chini.
Pia
ametembelea tenki kubwa jipya la Maji lilipo Kibamba Luguruni ambalo
linapokea maji kutoka mtambo wa Ruvu juu na ametembelea Ofisi za Dawasco
Mkoa wa Kibaha na kumalizia ziara yake kwa kutembelea mtambo wa
kuzalishia Maji wa Ruvu juu ambapo umeanza kuzalisha maji mapya leo.
Katibu
mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Profesa Kitila Mkumbo akiwa
ameambatana na Ofisa Mtendaji mkuu Dawasco,mhandisi, Cyprian Luhemeja
katika ziara ya kutembelea Mtambo Ruvu juu uliopo mkoani Pwani.
Mkurugenzi
wa Huduma za Ufundi wa DAWASA, mhandisi Romanus Mwangingo, akitoa
maelezo mafupi kwa Katibu mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Profesa
Kitila Mkumbo kuhusu tenki jipya la Maji lilipo Kibamba Luguruni ambalo
linapokea maji kutoka mtambo wa Ruvu juu mara baada ya kufanya ziara ya
kutembelea Mtambo huo wa uzalishaji Maji wa Ruvu juu uliopo Mlandizi,
mkoani Pwani. Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya jamii.
Ofisa
Mtendaji mkuu Dawasco, mhandisi Cyprian Luhemeja akitoa maelezo mafupi
kwa Katibu mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Profesa Kitila Mkumbo
katika ziara ya kutembelea Mtambo Ruvu juu uliopo mkoani Pwani.
Katibu
Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Profesa Kitila Mkumbo akiwa katika
picha ya pamoja na watumishi wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji
Katibu
Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Profesa Kitila Mkumbo akizungumza
na watumishi wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji leo jijini Dar es Salaam.
Watumishi wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji wakimsilikiza Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Profesa Kitila Mkumbo
Moja ya mitambo ya maji katika eneo la Ruvu Juu kama inavyoonekana.
Sehemu ya mtambo wa kusafirishia maji.
About Author
The part time Blogger love to blog on various categories like Web Development, SEO Guide, Tips and Tricks, Android Stuff, etc including Linux Hacking Tricks and tips. A Blogger Template Designer; designed many popular themes.
Advertisement

Related Posts
- Zanzibar to Organize a Half Marathon race to Promote Gender Mainstreaming, Attain Sustainable Development Goal06 Jan 20180
More than 300 Zanzibari women, men, girls and boys are expected to participate in t...Read more »
- Embassy of Kuwait in Tanzania Committed to Support Educational Projects in Zanzibar18 Dec 20170
Member of the House of Representative in Zanzibar, Hon Simai Mohammed Said in discussion ...Read more »
- Turkey to intensify relationship with SUZA16 Aug 20170
Delegation of Presidency for Turks Abroad and Related Communities (YTB) meets Prof. Rai (...Read more »
- RAIS DKT. MAGUFULI PAMOJA NA MKEWE MAMA JANETH WATEMBELEA KUWAJULIA HALI WAGONJWA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI JIJINI DAR ES SALAAM28 May 20170
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamo...Read more »
- Halmashauri kunufaika na Tsh 250 bilioni za mradi wa maji vijijini18 May 20170
Halmashauri za wilaya zimetakiwa kuongeza ufanisi katika kusimamia miradi ya maji kwa kucha...Read more »
- NAIBU MKURUGENZI WA IMF AKUNWA NA UKUAJI WA UCHUMI WA TANZANIA, AAHIDI KUFUNGUA DIRISHA LA MIKOPO KWA TANZANIA18 May 20170
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), (wa tatu kulia) akiel...Read more »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.