Sakata la Madawa ya kulevya limeendelea kugonga vichwa vya habari wiki hii ambapo Jumatatu hii Jeshi la polisi limedai toka lianze operesheni hiyo tayari limewakamata watuhumiwa 112 na kati ya hao 12 watapandishwa mahakamani Jumatatu hii kwajili ya kiapo cha kutorudia matumizi ya Madawa ya kulevya baada ya kukiri kutumia.
Vita ya dawa za kulevya: 12 kati ya 112 kupandishwa kortini akiwemo Wema, TID na wengine (Video)
Sakata la Madawa ya kulevya limeendelea kugonga vichwa vya habari wiki hii ambapo Jumatatu hii Jeshi la polisi limedai toka lianze operesheni hiyo tayari limewakamata watuhumiwa 112 na kati ya hao 12 watapandishwa mahakamani Jumatatu hii kwajili ya kiapo cha kutorudia matumizi ya Madawa ya kulevya baada ya kukiri kutumia.
Post a Comment