Barnicoz Tech Barnicoz Tech Author
Title: Marseille sasa wapo tayari kumsajili beki huyu kutoka Aston Villa
Author: Barnicoz Tech
Rating 5 of 5 Des:
Marseille sasa wapo tayari kumsajili beki huyu kutoka Aston Villa Klabu ya soka ya Marseille ambayo inashiriki ligi ya Ufaransa umetanab...

Marseille sasa wapo tayari kumsajili beki huyu kutoka Aston Villa


Klabu ya soka ya Marseille ambayo inashiriki ligi ya Ufaransa umetanabaisha kwamba wao wana tatizo kwenye safu ya ulinzi na sasa wanatafuta suluhisho juu ya jambo hilo habari zinadai kwamba uongozi wa timu hiyo unamsaka mchezaji wa Villa, Jordan.

Marseille sasa wapo tayari kutuma wawakilishi kwenda kuongea na klabu ya Aston Villa ili waweze kumsajili beki wa timu hiyo aitwaye Jordan Amavi ambaye ana umri wa miaka 22, ni raia wa Ufaransa, klabu ya Liverpool nao wameonesha nia ya kutaka kumsajili mchezaji huyo pia.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top