Barnicoz Tech Barnicoz Tech Author
Title: Angel Di Maria kwenda China mwezi huu
Author: Barnicoz Tech
Rating 5 of 5 Des:
Angel Di Maria kwenda China mwezi huu Mchezaji Angel Di Maria ambaye ni mshambuliaji wa pembeni wa klabu ya soka ya PSG pamekuwa na taari...

Angel Di Maria kwenda China mwezi huu


Mchezaji Angel Di Maria ambaye ni mshambuliaji wa pembeni wa klabu ya soka ya PSG pamekuwa na taarifa akihusishwa na kwenda kujiunga na klabu za kule nchini China.

Jambo hili linatarajiwa kufanywa wakati wa uhamisho wa mwezi huu. Klabu za China zimejiandaa kufanya usajli wa wachezaji wenye majina makubwa ulimwenguni na baadhi yao tayari wapo kule.

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top