Barnicoz Tech Barnicoz Tech Author
Title: Ranieri: Mahrez aongeze juhudi na asipofanya hivyo atapoteza namba
Author: Barnicoz Tech
Rating 5 of 5 Des:
Ranieri: Mahrez aongeze juhudi na asipofanya hivyo atapoteza namba Kocha wa klabu ya Leicester City, Claudio Ranieri ambao ni mabingwa w...

Ranieri: Mahrez aongeze juhudi na asipofanya hivyo atapoteza namba


Kocha wa klabu ya Leicester City, Claudio Ranieri ambao ni mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Uingereza ametoa shutma kwa mchezaji Riyad Mahrez ambaye ni mshambuliaji wake.

Kocha huyu amemtaka Mahrez aongeze juhudi na asipofanya hivyo basi ni dhahiri kwamba atapoteza namba kwenye kikosi cha kwanza cha katika timu hiyo.
31 Dec 2016

About Author

Advertisement

Post a Comment

Emoticon
:) :)) ;(( :-) =)) ;( ;-( :d :-d @-) :p :o :>) (o) [-( :-? (p) :-s (m) 8-) :-t :-b b-( :-# =p~ $-) (b) (f) x-) (k) (h) (c) cheer
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.

 
Top