Barnicoz Tech Barnicoz Tech Author
Title: Picha: Mtanzania aibuka mshindi wa nne katika shindano la upishi duniani
Author: Barnicoz Tech
Rating 5 of 5 Des:
Picha: Mtanzania aibuka mshindi wa nne katika shindano la upishi duniani Mtanzania Fredy Uisso aliyekwenda Alabama, Marekani,kushi...

Picha: Mtanzania aibuka mshindi wa nne katika shindano la upishi duniani


Mtanzania Fredy Uisso aliyekwenda Alabama, Marekani,kushiriki mashindano ya upishi ameibuka mshindi wa nne katika mashindano hayo ya kidunia.
award-presentation-by-the-president-and-ceo-of-world-food-championship-mr-mike-mc-cloud
President and CEO of WORLD FOOD CHAMPIONSHIP Mr Mike Mc Cloud akimkabidhi tuzo Uisso
Usiku wa kuamkia leo, Mkurugenzi Mtendaji wa World Food Championships Mike Mc Cloud, alimtangaza Uisso kuwa mshindi wa nne katika shindao hilo.
Chef Uisso ambaye ni mpishi mwandamizi katika mgahawa wa Afrikand uliopo Kinondoni, anaandika historia ya kuwa Mwafrika wa kwanza kuchaguliwa kushiriki fainali za mashindano hayo na kuibuka kuwa mshindi wa nafasi hiyo huku akiwabwaga wapishi 21 kutoka hoteli kubwa na maarufu duniani walioshiriki fainali hizo zilizoanza Novemba 8 mwaka huu.
xx
Uisso akiwa na Madam Julie Haunn the National Coordinator WORLD FOOD CHAMPIONSHIP

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top