Barnicoz Tech Barnicoz Tech Author
Title: Guardiola huwakataza wachezaji kufanya mapenzi baada ya saa 6 usiku – Nasri
Author: Barnicoz Tech
Rating 5 of 5 Des:
Guardiola huwakataza wachezaji kufanya mapenzi baada ya saa 6 usiku – Nasri Mchezaji wa Ufaransa katika safu ya kati Samir Nasri a...

Guardiola huwakataza wachezaji kufanya mapenzi baada ya saa 6 usiku – Nasri


Mchezaji wa Ufaransa katika safu ya kati Samir Nasri amefichua kwamba mojawapo ya ufanisi mkubwa wa mkufunzi Manchester City Pep Guradiola ni kuwaagiza wachezaji wake kutofanya mapenzi baada ya saa sita usiku.
samir-nasri-premier-league-manchester-city_3037007
Katika mahojiano na runinga ya Ufaransa, Nasri amesema kuwa Guardiola aliweka sheria hiyo hata iwapo kungekuwa hakuna mechi siku iliofuatia ili wachezaji wapate usingizi mwanana.
Hata Lionel Messi anayetambulika kuwa mchezaji bora duniani hakuwachwa nje wakati wa uongozi wa Guradiola katika timu ya Barcelona.
Nasri amesema kuwa hatua hiyo ilimwezesha Messi kutopata majeraha ya misuli

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top